Nafasi Ya Matangazo

August 26, 2009

Timu za Mtibwa Sukari (kushoto) na African Lyone wakitoka uwanjani baada ya mchezo kumalizika katika Uwanja wa Uhuru (Kwa Bibi) leo. Mtibwa ilishinda 2-0. Katika mchezo wa awali Lyone waliikamia Yanga na kutoka nao sare ya 1-1.
Bosi wa African Lyone Mohamed Dewji akiwa ameshika tama baada ya vijana wake kuchapwa goli 2-0 na Mtibwa Suger.
Bosi wa Mtibwa Sukari Jamal Baizer akifuatilia kwa makini vijana wake wakitoa dozi kwa African Lyone.
Posted by MROKI On Wednesday, August 26, 2009 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo