Nafasi Ya Matangazo

August 26, 2009

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma wakitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Askofu Mkuu Jimbo Katoliki la Mwanza Marehemu Mhashamu Antony Mayala wakati wa ibada ya Mazishi iliyofanyika nyumbani kwake eneo la Kawekamo,Mwanza na baadaye kuzikwa katika kanisa kuu la Epifania mjini Mwanza.
Maaskofu wakiomboleza.
Kwaya mbalimbali zilikuwepo kusindikiza mazishi
wakuu wakiagana baada ya kumaliza shughuli ya mazishi. Ni Rais Mstaafu Benjamin Mkapa na Rais Jakaya Kikwete.
Posted by MROKI On Wednesday, August 26, 2009 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo