Nafasi Ya Matangazo

January 23, 2009

Baadhi ya watendaji wa baadhi ya mashirika ya Umma nchini wamekua wakionyesha udhaifu wao hadharani hadi katika semina na mikutano ya kuchangia hoja za maendeleo ya taasisi hizo, pichani wapili kutoka kushoto huenda ni mmoja wa wakubwa wa Tanesco ambaye aliamua kuuchapa usingizi mapema tu wakati ndio kwanza mkutano wa Kamati ya Bunge ya Hesabu Mashirika ya Umma ukifanya mkutano na mashirika hayo
katika ukumbi wa Karimjee Dar es Salaam leo.
Posted by MROKI On Friday, January 23, 2009 1 comment

1 comment:

  1. Wataacha kulala wakati wameshiba hela za Watanzania Wiz Mtupu!!!!

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo