Nafasi Ya Matangazo

June 17, 2008

Mkazi wa mjini Dodoma akipepeta ufuta katika ghala la chakula lililopo Uhindini mjini Dodoma huku mtoto wake mdogo akiwa pembeni jambo ambalo ni hatari kwa afya ya mtoto huyo kutokana na vumbi kali litokalo katika ufuta huo.

Posted by MROKI On Tuesday, June 17, 2008 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo