Nafasi Ya Matangazo

June 07, 2016

 Mtoto Sharon  Mwakifulefule (kushoto) akisalimiana mmoja wa watoto wanaolelewa katika kituo cha Yatima Trust Fund kilichopo Mbagala Chamanzi jijini Dar es Salaam, wakati alipokwenda kituoni hapo  kwa ajili ya kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa pamoja na watoto wenzake ambapo alitoa msaada wa vyakula na madaftari.
 Mtoto anayelelewa katika kituo cha Yatima Trust Fund cha Mbagala Chamanzi , Abdul ,akiwa na wenzake wakati Mtoto Sharon Mwakifulefule alipokwenda  kituoni hapo  kwa ajili ya kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa pamoja na watoto wenzake ambapo alitoa msaada wa vyakula na madaftari.
Watoto wa kituo cha Yatima Trust Fund  cha Mbagala Chamanzi wakionyeshwa na mlezi wa kituo hicho Yessaya Mwakifulefule jinsi ya kutumia simu wakati alipofika hapo paoja na mwanae Sharon ( 7) (hayupo pichani) kituoni hapo  kwa ajili ya kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa pamoja na watoto wenzake ambapo alitoa msaada wa vyakula na madaftari.
 Sharon Mwakifulefule (7) akiwaelekeza watoto wanaolelewa katika kituo cha Yatima Trust Fund kilichopo Mbagala Chamzanzi jijini Dar es Salaam, jinsi ya kutumia simu wakati alipofika  kituoni hapo  kwa ajili ya kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa pamoja na watoto wenzake ambapo alitoa msaada wa vyakula na madaftari. BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Sharon Mwakifulefule (7)wapili kulia akiwa na wazazi wake  pamoja na watoto wa kituo cha kulelea yatima cha Yatima Trust Fund  Mbagala Chamanzi jijini Dar es Salaam,wakati alipokuwa akiadhimisha siku yake ya kuzaliwa  ambayo aliifanya katika kituo hicho.
 Sharon  akiwagawia juice watoto wanaolelelewa katika kituo cha Yatima Trust Fund cha Mbagala Chamanzi ikiwa ni sehemu ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa( 7) ambapo alitoa msaada wa vyakula na madaftari.
 Sharon ( kulia) akimlisha keki  Yesaya Linus ambayeni mmoja wa watoto wanaolelewa katika kituo cha Yatima Trust Fund kilichopo Mbagala Chamanzi jijini Dar es Salaam, wakishirikiana kukata keki wakati wa kusherekea siku yake ya kuzaliwa(7) iliyofanyika kituoni hapo.
Mtoto Yesaya Linus akimlisha keki Sharon Mwakifulefule
 Fatma Ali  ambaye ni mmoja wa watoto wanaolelewa katika Kituo cha Yatima Trus Fund kilichopo Mbagala Chamanzi akilishwa keki na Sharon Mwakifulefule wakati wa sherehe yake kuzaliwa (7) iliyofanyika kituoni hapo , ambapo alitoa msaada wa vyakula na madaftari kwa watoto wenzake.
Sharon Yesaya akimkabidhi msaada wa madaftari Fatma Ali  ambaye ni mmoja wa watoto wanaolelewa katika Kituo cha Yatima Trus Fund kilichopo Mbagala Chamanzi jijini Dar es Salaam, wakati wa hafla yake ya  kuzaliwa (7) iliyofanyika kituoni hapo , ambapo alitoa msaada wa vyakula na madaftari kwa watoto wenzake.
Watoto wanaolelewa katika kituo cha Yatima Trust Fund kilichopo Mbagala Chamanzi jijini Dar es Salaam,  Mwajuma Idd na Halma juma ,wakikabidhiwa msaada wa unga na Sharon Yesaya, wakati wa hafla ya siku yake ya kuzaliwa (7) ambapo alikwenda kuiadhimisha paoja na watoto wenzake  wa kituo hicho.
Posted by MROKI On Tuesday, June 07, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo