Nafasi Ya Matangazo

July 25, 2012

Meneja wa bia ya Serengeti bw Allan Chonjo akiongea na waandishi wa habari baada ya kuchezesha droo ya 12 katika promosheni ya ‘VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO na SBL, kulia ni Tumainieli Mlisa kutoka PWC na kushoto ni Bakari Maggid kutoka bodi ya taifa ya bahati nasibu.Washindi katika droo hiyo ni Kosmas George Bugomora 41 kutoka mkoa wa Mwanza na bw.Sebastian Temu 48 kutoka Dar es Salaam ambao wote kwa pamoja wamejishindia jenereta huku bw.Deo Mkama 47 kutoka mkoani kilimanjaro ambaye  amejinyakulia bajaj mpya.
Meneja wa bia ya Serengeti bw Allan Chonjo katikati akiongea na mmoja wa washindi wa promosheni ya ‘VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO na SBL, kupitia simu ya mezani,kulia ni Bakari Maggid mkaguzi kutoka bodi ya taifa ya bahati nasibu, wengine ni wasimamizi kutoka PWC. Hii ni droo ya 12 katika promosheni ya vumbua hazina chini ya kizibo inayoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti kwa takriba wiki 15 sasa.
Posted by MROKI On Wednesday, July 25, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo