Nafasi Ya Matangazo

June 06, 2012

 Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki upande wa Tanzania jana usiku mara baada ya sherehe za Kuapishwa na uzinduzi wa Bunge hilo jipya la tatu walifanya sherehe ndogo ya kujipongeza iliyofanyika katika Hoteli ya Kibo Palace ya mjini hapa na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwapo ndugu jamaa na marafiki.
 Awali mama Maria Nyerere alihudhuria sherehe za Kuapishwa Wabunge hao ambapo Mtoto wake Charles Makongoro Nyerere nae aliapishwa kulitumikia Bunge hilo.
 Shy-Rose Banji akipongezwa na ndugu na jamaa zake.
 Wabunge wakipongezana baada ya kiapo nje ya Ukumbi huo wa Bunge uliopo Jengo la AICC mjini Arusha
 Picha ya Pamoja na Spika ilipigwa
 Picha ya marafiki na familia
 Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakimpongeza Shy Rose.
 Mwenyekiti wa Wabunge wa Tanzania EALA, Alhaji. Adam Kimbisa akinon'goneza Katibu wake Shy-Rose Banji jambo wakati wa ufunguzi wa tafrija yao.
 'Kaka wa Taifa' Makongoro Nyerere akitoa neno la shukrani kwa wageni wote waliohudhuria hapo. Pamoja nae ni Dkt Twaha Issa Taslima
 Wana wa Viongozi, Makongoro Nyerere na William Malecela
 Abdula Mwinyi na Mkewe kati pamoja na Mbunge wa Bunge la Tanzania, Magige wakipata msosi
 Waheshimiwa hawa nao walikuwepo...
 Wageni mbalimbali
 Lady Jay Dee akifungua shampaing na kuwamiminia watu.
 Wakati wa Chiiiiiiiizz!!
Tafrija ilikuwa poa sana na watu walifurahi
Posted by MROKI On Wednesday, June 06, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo