Nafasi Ya Matangazo

April 15, 2012

 Msanii Ali Kiba akikabidhiwa tuzo yake ya Wimbo bora wa Zhouk/Rhoumba uitwao Dushelele.
Burudani ikiendelea jukwaani.
Msanii kutoka THT,Rachael akitumbuiza usiku huu.
Msanii Dyana akiimba kwa hisia jukwaani.
Alikiba akishukuru Watanzania kwa kumpigia kura na kuibuka na tuzo hiyo,kulia kwake ni mdogo wake
Ma Mc wa Kili Music Awarsd usiku huu.Millard Ayo na Vanessa.
Diamond na wasanii wenzake wakitumbuiza mbele ya umati mkubwa hapa Mlimani City usiku huu.
Meneja wa Tip Top Connection,Babu Tale akiwa tuzo ya video bora ya mwaka ya wimbo uitwao hakunaga  wa Sumalee
Mwakilishi wa Msanii Ben Paul wakiwa na tuzo ya msanii huyo ya wimbo wa
Msanii nyota wa Hip hop hapa nchini Roma akiibuka kwenda kuchukua tuzo yake.
Msanii Roma akiwa na tuzo yake ya msanii bora wa Hip Hop
Mmoja wa Wasanii akitumbuiza kwenye utoaji wa tuzo za Kili 2012
Msanii Queen Doreen akiimba jukwaani.
Wasanii mahiri katika Maigizo a.k.a vichekesho,Mzee King Majuto na Sharobalo Men
Ommi Dimpoz akikabidhiwa tuzo yake ya Msanii bora anayechipukia na pia amenyakua tuzo ya wimbo bora wa kushirikiana.
Ommi Dimpoz akitoa shukurani kwa washabiki wake kwa kuzinyakua tuzo hizo mbili
Mwanamuziki Mkongwe wa taarab hapa nchini,Bi Shakila akiimba kwa umahiri mkubwa jukwaani.
Palikuwa hapatoshi leo Mlimani city.
Msanii AT pichani kulia kiwa na tuzo yake ya wimbo bora wenye vionjo vya asili uitwao Vifuu tundu.

Mwanamuziki mahiri wa taarabu nchini,Isha Mashauzi akiibuka kwenda kuchukua tuzo yake
Isha Mashauzi na tuzo yake ya wimbo bora wa taarabu uitwao mamaa mashauzi
Mwimbaji wa bendi ya Twanga Pepeta,Luiza Mbutu akipokea tuzo ya wimbo wa kiswahili  (bendi) uitwao Dunia Daraja
Mwimbaji mkongwe wa taarabu hapa nchini,Bi Khadija Omar Kopa akiwa na tuzo yake ya mwimbaji bora wa kike.
Khadija Kopa akitumbuiza jukwani.
Msanii Roma kikabidhiwa tuzo yake ya Msanii bora wa Hip Hop,ambapo pia aliibuka na tuzo ya wimbo bora wa hip hop.
Msanii bora wa Rap (Bendi) khalijo Kitokololo akiwa na tuzo yake.
Khadija Kopa na bintize hapatoshi jukwaani .
Mwakilishi wa msanii Jaguar kutoka nchini Kenya akiwa na tuzo ya msanii huyo ya wimbo bora wa Afrika Mashariki uitwao Kigeu geu.
Picha na JIACHIE BLOG.
Posted by MROKI On Sunday, April 15, 2012 2 comments

2 comments:

  1. ROMA ni nomaaaaaaaaaaaaa!!!! tofauti yake na washindani wake ilikuwa wazi kabisa!!!

    ReplyDelete
  2. Kaka,

    Huyo Mdogo wake Ali Kiba vipi huyo Wangu?
    Una kontakt zake Wangu?

    Nitakupoza Wangu

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo