Nafasi Ya Matangazo

January 18, 2011

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam(UDSM) Profesa Rwekaza Mukandala(katikati) akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam juu harambe ya uchangishaji wa fedha kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha wanafunzi cha CKD itakayofanyika Ikulu jijini Dar es alaam. Mgeni rasmi katika harambe hiyo itakayofanyika Alhamis tarehe 20.1.2011 ni Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Posted by MROKI On Tuesday, January 18, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo