Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Bwana Ludovick Utouh akimkabidhi Rais Jakaya Mrisho Kikwete Ripoti za ukaguzi wa matumizi ya Fedha za Serikali na Taasisi zake Ikulu jijini Dar es Salaam leo mchana.Kushoto ni Msaidizi wa Mkaguzi Mkuu Bwana Atanas Tarimo.Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Ludovick Utouh akipeana mikono na Rais Jakaya Mrisho Kikwete baada ya kukabidhi ripoti hizo Ikulu Dar es Salaam leo.
March 31, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment