hapo ni kwamba polisi wamewakamta raia ili kuweza kuwapeleka wanapopataka nilazima waongonzane. kwa kuogopa kukimbiwa ndio wakaamua kufanya hivyo unavyoona. Rida
Hapo ni kwamba hawa jamaa wawili raia wakiwa na pikipiki yao wameshtaki isssue kwa hawa TIGO,nao wameamua kwenda eneo la tukio lakini ili waende sambamba nao abiria wa raia akapakizwa na askari na askari abiria wa tigo akapanda kwenye pikipiki ya raia.
Polisi si adui bali ni rafiki wa raia wema wote
ReplyDeletehapo ni kwamba polisi wamewakamta raia ili kuweza kuwapeleka wanapopataka nilazima waongonzane. kwa kuogopa kukimbiwa ndio wakaamua kufanya hivyo unavyoona.
ReplyDeleteRida
Hiyo ya kwanza ni polisi jamii na ya pili ni jamii polisi.
ReplyDeleteHapo ni kwamba hawa jamaa wawili raia wakiwa na pikipiki yao wameshtaki isssue kwa hawa TIGO,nao wameamua kwenda eneo la tukio lakini ili waende sambamba nao abiria wa raia akapakizwa na askari na askari abiria wa tigo akapanda kwenye pikipiki ya raia.
ReplyDelete