Watuhumiwa wa kesi ya matumizi mabaya ya ofisi Basil Mramba (mbele) na Daniel Yona wakiteremka ngazi za Mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana baada ya kupata dhamana.Father Kidevu
Karibu!
KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
| |||
