Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira
na Wenye Ulemavu), Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete amekutana na kufanya
mazungumzo na viongozi wa Benki ya NMB wakiongozwa na Meneja Mahusiano Benki na
Serikali Bi. Vicky Bishubo.
Ziara hiyo ya viongozi hao wa NMB pamoja na mambo mengine
ilikua na lengo la utambulisho wa watendaji hao kwa Waziri Kikwete.
Waziri Kikwete alishukuru kwa ujio wao na kuwatambulisha
katika maeneo ambayo Benki ya NMB inaweza kushirikiana na Serikali hususani
katika Wizara hiyo ya , waliokuja kujitambulisha na kunitambulisha bidhaa
mbalimbali zinazotolewa na Benki hiyo.
Katika kikao hicho niliwakaribisha ofisini kwetu na
kuwatambulisha baadhi ya maeneo ambayo benki hiyo inaweza shirikiana na
Serikali katika kufanikisha uwezeshaji Vijana na Jamii.

Meneja Mahusiano Benki na Serikali Bi. Vicky Bishubo akifafanua jambo.

0 comments:
Post a Comment