Nafasi Ya Matangazo

November 17, 2022

Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Sabasaba Moshingi (watatu kushoto), akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Tawi la benki hiyo lililozinduliwa leo katika Jengo la makao makuu ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) lililopo posta jijini Dar es Salaam ambapo tawi hilo litakuwa likifanya kazi saa 24 ili kuhakikisha wafanya biashara wanapata huduma ya kifedha muda wote wengine pichani kutoka kushoto ni Meneja wa Mawsiliano na Uhusiano wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Gloria Mutta,Mkurugenzi wa Masoko Deo Kwiyuka, Meneja wa TCB Tawi la TPA, Anastela Kabudi, Mkurugenzi wa Sheria, Mystica Mapunda Mkurugenzi wa Hazina wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Wenceslaus Fungamtama pamoja na maa fisa wengine wa TCB.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Sabasaba Moshingi (kushoto), akifungua kisanduku maalum kuashiria uzinduzi rasmi wa Tawi la benki hiyo lililozinduliwa leo katika Jengo la Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) lililopo posta jijini Dar es Salaamambapo tawi hilo litakuwa likifanya kazi saa 24 ili kuhakikisha wafanya biashara wanapata huduma ya kifedha muda wote  wengine pichani Mkurugenzi wa Masoko wa benki hiyo Deo Kwiyuka, pamoja na Meneja wa TCB Tawi la TPA, Anastela Kabudi
Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Sabasaba Moshingi akizungumza wakati wa uzinduzi wa Tawi jipya la Benki hiyo lililozinduliwa leo katika Jengo la Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) lililopo posta jijini Dar es Salaam ambapo tawi hilo litakuwa likifanya kazi saa 24 ili kuhakikisha wafanya biashara wanapata huduma ya kifedha muda wote.
 Meneja Tanzania Commercial Bnk TCB Tawi la TPA, Anastela Kabudi akizungumza wakati wa uzinduzi wa Tawi jipya la Benki hiyo lililozinduliwa leo katika Jengo la Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) lililopo posta jijini Dar es Salaam ambapo tawi hilo litakuwa likifanya kazi saa 24 ili kuhakikisha wafanya biashara wanapata huduma ya kifedha muda wote

Posted by MROKI On Thursday, November 17, 2022 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo