Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhiwani Kikwete akijibu maswali ya wabunge Bungeni Novemba 1,2022 wakati wa kikao cha kwanza cha mkutano wa tisa wa Bunge unaoendelea jijini Dodoma.
***********
SERIKALI imesema inaendelea kuchukua jitihada za kutatua
migogoro ya ardhi kati ya wananchi na wawekezaji katika maeneo mbalimbali
nchini hususan katika Jimbo la Kibaha Vijijini. Kikwete akijibu swali hilo kwa niaba ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, alisema Miongoni mwa jitihada hizo ni pamoja na kufanya ukaguzi wa ardhi iliyomilikishwa kwa wawekezaji ili kubaini iwapo masharti ya umiliki yanazingatiwa.
Aidha katika hatua nyingine, Naibu Waziri Kiwete amemuahidi Mbunge wa Jimbo la Kawe, Mch. Joseph Gwajima kufuatilia na kutatua changamoto zilizopo katika eneo la Chasimba.
0 comments:
Post a Comment