Nafasi Ya Matangazo

October 31, 2022

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), pamoja na viongozi wengine wa Serikali akifungua kitambaa kuashiria ufunguzi rasmi wa uwekaji wa jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato, jijini Dodoma.
Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali wakifurahi jambo mara baada ya hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa Kiwanja cha Ndege  cha Kimataifa  cha Msalato, jijini Dodoma. 

Wageni mbalimbali
Machifu wa Mkoa Dodoma, Wafanyakazi wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, pamoja na wananchi wakisilikiliza hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato, jijini Dodoma. 
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Eng. Godfrey Kasekenya (katikati) pamoja na viongozi wengine wa Serikali wakisilikiliza hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato, jijini Dodoma. 
Muonekano mnara wa kuongozea Ndege wa uwanja huo utakavyokua baada ya kukamilika
Manaibu Waziri  Ridhiwani Kikwete (Kulia) na Anthony Mavunde pamoja na viongozi wengine wakifurahi jambo mara baada ya hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa Kiwanja cha Ndege  cha Kimataifa  cha Msalato, jijini Dodoma. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiondoka Msalato, jijini Dodoma katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Msalato. Kushoto kwake ni Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa.

Posted by MROKI On Monday, October 31, 2022 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo