Nafasi Ya Matangazo

June 30, 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Mstaafu Jenerali Venance Salvatory Mabeyo, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA).
Uteuzi huu ni kuanzia tarehe 30 Juni, 2022.
Posted by MROKI On Thursday, June 30, 2022 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo