Ujumbe wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi, ukiongozwa na Naibu Waziri wake, Ridhiwani Kikwete umeshiriki mkutano wa Mashauriano ya Mawaziri wa Ardhi wa Nchi za Afrika uliandaliwa na UN-HABITAT mjini Nairobi, Kenya huku Agenda ikiwa ni Miji mipya. Pichani Ujumbe wa Tanzania ukifuatilia Mkutano
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhiwani Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa UN-HABITAT Bi. Maimuna Mohamed Sharif.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhiwani Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa UN-HABITAT Bi. Maimuna Mohamed Sharif.






0 comments:
Post a Comment