Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika leo tarehe 31 Machi, 2022 katika Makao Makuu ya Chama White House Jijini Dodoma
Wajumbe mbalimbali wa Kikao cha Kamati Kuu pamoja na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakiwa kwenye ukumbi wa Mikutano kwa ajili ya kushiriki vikao hivyo leo tarehe 31 Machi, 2022 katika Makao Makuu ya Chama White House Jijini Dodoma
Wajumbe mbalimbali wa Kikao cha Kamati Kuu pamoja na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakiwa kwenye ukumbi wa Mikutano kwa ajili ya kushiriki vikao hivyo leo tarehe 31 Machi, 2022 katika Makao Makuu ya Chama White House Jijini Dodoma
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika leo tarehe 31 Machi, 2022 katika Makao Makuu ya Chama White House Jijini Dodoma
Wajumbe mbalimbali wa Kikao cha Kamati Kuu pamoja na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakiwa kwenye ukumbi wa Mikutano kwa ajili ya kushiriki vikao hivyo leo tarehe 31 Machi, 2022 katika Makao Makuu ya Chama White House Jijini Dodoma
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika leo tarehe 31 Machi, 2022 katika Makao Makuu ya Chama White House Jijini Dodoma











0 comments:
Post a Comment