Nafasi Ya Matangazo

July 28, 2021

Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan Kikwete akikabidhi vitu mbalimbali ikiwa ni utekelezaji wa matakwa ya  ilani ya Uchaguzi ya CCM inayoelekeza kugawa  10% toka makusanyo ya Halmashauri.

Halmashauri ya Chalinze imeendelea kutimiza matakwa hayo kwa kupeleka  Shilingi Milioni 840 kwa Walengwa ambao ni makundi ya Vijana, Wenyeulemavu na wanawake.
Wenye ulemavu wakipatiwa msaada wa vitu vitakavyoweza kuwasaidia kujikwamua katika shughuli zao
Wanawake nao hawakuachwa katika hizo asiliamia 10.

 

Posted by MROKI On Wednesday, July 28, 2021 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo