Nafasi Ya Matangazo

July 28, 2016

Mkurugenzi wa halmashauri ya Jiji la Arusha(CD),Athuman Juma akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo juu ya mipango kabambe ya kukomesha wavamizi wa maeneo ya wazi ambayo yametambuliwa kuwa ni viwanja 52 pamoja na kukusanya mapato kwanjia za kieletroniki na mashine za EFD's kuhakikisha mapato hayapotei
Mwandishi wa habari wa gazeti la Mtanzania,Eliya Mbonea akiuliza swali.
Mkurugenzi wa halmashauri ya Jiji la Arusha(CD),Athuman Juma akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo
Waandishi wa habari wakiwa makini kuchukua taarifa hiyo
Waandishi wa habari wakiwa makini kuchukua taarifa hiyo
 
 Afisa Habari wa Jiji la Arusha,Nteghenjwa Hoseah akizungumza jambo baada ya mkutano huo.
Posted by MROKI On Thursday, July 28, 2016 1 comment

1 comment:

  1. AnonymousJuly 29, 2016

    Habari nzuri lakini hajitoshelezi kabisaa,hivi kweli huyu mkurugenzi aliwaiuta kisha akasema maneno machache hivi??hakutaja viwanja viko wapi?jambo lingine hamkupata nafasi ya kumuuliza maswali kwa niaba ya wakazi wa Arusha?

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo