Nafasi Ya Matangazo

March 01, 2016

Mwakilishi wa Kudumu wa Swizaland katika Jumuia ya Aifrika Mashariki (EAC) Balozi Arthur Matti, (kulia)  akizungumza na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu,Jaji Augustino Ramadhani, makao Makuu ya Mahaka hiyo Jijini Arusha alipomtembelea leo . Wawili hao wamezungumza mengi kuhusu Mahakam hiyo ya Afrika na ushirikiano baina ya pande hizo mbili.
Posted by MROKI On Tuesday, March 01, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo