Nafasi Ya Matangazo

September 07, 2015

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisistiza jambo katika mkutano huo.
 Wananchi wakiwa wamefurika kwenye uwanja wa Jamhuti mjini Morogoro kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni,ambapo Dkt Magufui aliwahutubia wananchi hao sambamba na kuzinadi sera zake
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM uliofanyika katika uwanja wa Jamhuri jioni ya leo koani Morogoro.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Jakaya Kikwete na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakiwapungia mikono wananchi huku wakiwa wameshika kofia zao.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akimnadi mgombea Ubunge wa jimbo la Morogoro mjini,Mh Azizi Abbod mbele ya maelfu ya wananchi (hawapo pichani) kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM uliofanyika katika uwanja wa Jamhuri jioni ya leo koani Morogoro. Picha zaidi >>>FK MATUKIO
Posted by MROKI On Monday, September 07, 2015 1 comment

1 comment:

  1. HAPA NAJIZUIA KUSEMA HONGERA CCM KWA MKUTANO HUU WA MOROGORO AMBAO KWA KIASI KIKUBWA[ZAIDI YA ASILIMIA 70]ULITAWALIWA NA FIESTA YA NGUVU SANA YA MUZIKI KWANI WALE WANAMUZIKI WOTE WALIOMWALIKA MHE. KIKWETE MLIMANI CITY WALIKUWEPO.KWA UCHACHE ZAIDI YA VIKUNDI 100 VILITUMBUIZA RADHA YA MIKUTANO YA KAMPENI ZA`WANASIASA NI WANASIASA WENYEWE TUWASIKILIZE SERA TUWAPIME TUAMUE SIKU YA SI KU NI AKINA NANI WA KUTUONGOZA.NILIKUWEPO MORO JAMHURI NILIMSHUHUDIA ALLY KIBA NA WANENGUAJI WAKE BUREEE BAADA YA HAPO KWA KUA NILIHISI UWANJA WA JAMHURI KUELEMEWA NA HAPAKUA NA TAHADHARI YEYOTE NIKAJINASUA MAPEMA SAA 11.05 HIVI JIONI,NAKUJA BAADAYE KUSIKIA MAAFA YALIYOTOKEA PALE WATU WASIO NA HATIA KUPOTEZA UHAI WAO.SOMO KWANGU NA KWETU NI HILI; WANASIASA HUBIRINI SIASA HATA KAMA WANAOKUSIKILIZA WACHACHE MSIBADILI KAMPENI ZENU KUA MAFIESTA TUNAIFAHAMU MISONGAMANO YA MAFIESTA NDIYO MAANA HAIFANYIWI KWENYE STADIUMS HATA SIKU MOJA.TUNAOMBA WAANDAAJI WACHUKULIWE HATUA ZA KISHERIA MAANA WAMEUA JAPO BILA KUKUSUDIA.BILA HIVYO HAKUNA FUNDISHO.

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo