Nafasi Ya Matangazo

June 02, 2015

 Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima akikata utepe kuzindua mkutano  wa Kimataifa kuhusu Vitambulisho vya Taifa vya Kielektroniki, ulioanza leo jijini Dar es Salaam katika Hoteli ya Serena, Kulia kwa Naibu Waziri ni Waziri wa Maendeleo na Mshikamano wa  Jamii  wa Jamhuri ya Djibout, Zahar Youssuouf Kayad na Kaimu Mkurugenzi wa Wakala wa Vitambulisho vya Taifa (NIDA) hapa nchini, Joseph Makani na kushoto ni Naibu Waziri wa Mawasiliano wa Ghana, Bw. Edward Ato Sarpong, na  Mwenyekiti wa Kampuni ya Asia Pacific Smart Card Association, Bw. Greg Pote.
 Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima, akihutubia  katika mkutano wa Kimataifa wa Vitambulisho vya Taifa vya Kielektroniki Barani Afrika, ulioanza leo Jijini Dar es Salaam katika Hoteli ya Serena.  Mbele yake ni wageni toka mataifa mbalimbali  wanaohudhuria mkutano huo.
 Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa Maofisa wa moja ya makampuni yanayoshiriki katika mkutano wa Kimataifa wa Vitambulisho vya Taifa vya Kielektroniki Barani Afrika unaoendelea Jijini Dar es Salaam katika Hoteli ya Serena.
Posted by MROKI On Tuesday, June 02, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo