Rais mstaafu wa awamu
ya pili Ali Hassan Mwinyi (Katikati)akizindua tawi jipya la Benki ya KCB
Shariah Lililopo barabara ya Lumumba jijini Dar es Salaam, litakalotoa huduma kwa kuzingatia maadili ya
kiislamu,ambapo watapata mikoipo isiyokuwa na riba .Kulia ni Mkurugenzi
Mtendaji wa KCB Tanzania Moezz Mir,
wapili kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa benki hiyo Dr.Edmund Mndolwa na wakwanza
Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Shariah wa benki hiyo Uzairu Athuman.
Rais
mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi (Katikati)akimkabdhi hundi yenye
thamani ya shilingi Milioni kumi,Mwenyekiti wa yatima group trust fund Winfrida
Lubanza kwaajili ya kuendeleza kilimo cha kisasa wakati wa uzinduzi tawi jipya
la Benki ya KCB Shariah Lililopo barabara ya Lumumba jijini Dar es
Salaam.kushoto ni ni Mwenyekiti wa bodi wa benki hiyo Dr.Edmund Mndolwa na watatu toka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa
KCB Tanzania Moezz Mir.
0 comments:
Post a Comment