Nafasi Ya Matangazo

December 01, 2012

Mtangazaji na mwandishi wa habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Grace Kingalame amefanyiwa tafrija maalum ya kumuaga Binti huyo kabla ya kufunga ndoa yake takatifu na Mwana habari Mwenzake ambaye anaadikia gazeti la JamboLeo Julias Kihampa. Pichani ni Biharusi hutyo mtarajiwa akiwa katika pozi na warembo waliompamba na kumlinda siku hiyo.
 Grace Kingarame wa TBC One na mpambe wake wakikata keki wakati wa mnuso wa Send Off ya mtangazaji huyo iliyofanyika ukumbi wa Mwenge Social hall jijini Dar es salaam
 Wazaa chema
 Grace na wafanyakazi wenzie
 Shangazi wa Grace akidai kodi ya pango toka kwa mshenga
 Wafanyakazi wa TBC One wakijirusha na Kwaito
 Grace akimpa zawadi hazbendi  mtarajiwa Julius
Zawadi ya maandazi ilitolewa na wafganyakzi wa TBC One
Posted by MROKI On Saturday, December 01, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo