Nafasi Ya Matangazo

March 19, 2012

 Naibu Waziri wa Ujenzi Dr Harrison Mwakyembe akiongea na waandishi wa  habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na maendeleo ya  Afya yake nakusema kwamba yeye sasa yuko fiti kiafya, na ameripoti ofisini  rasmi leo hii alipoulizwa maswali kutoka kwa waandishi wa habari  akasema mambo yote anaichia serikali kupitia tume maalumu iliyoundwa  kufutilia suala la ugonjwa wake.
Baadhi ya waandishi wa habari wakijadiliana jambo walipowasili kumsikiliza Dr Mwakyembe leo
Posted by MROKI On Monday, March 19, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo