Nafasi Ya Matangazo

May 07, 2011

Muasisi na Mwenyekiti Mtendaji wa Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF) Professor Klauss Schwab akimkaribisha Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika ofisi yake ya Mjini  Cape Town Afrika Kusini Mei 6 2011 jioni. Baadae walifanya mazungumzo katika masuala mbalimbali ya kimaendeleo. Rai Kikwete yupo Afrika Kusini kuhudhuria Mkutano huo wqa WEF.
Posted by MROKI On Saturday, May 07, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo