Nafasi Ya Matangazo

January 19, 2011

 Meneja Mkuu wa Resolution Health Afrika mashariki, Oscar Osir, akimkabidhi msanii Peter Msechu zawadi ya bima ya afya kutona na mchezo alioshiriki wa Tusker Project Fame 4 mwishoni mwa mwaka jana. Hafra hii ilifanyika ofisi kuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam jana.
Peter Msechu akiwa na wafanyakazi wa kampuni ya bima ya afya Resolution Health baada ya kupokea zawadi ya bima wakiwa katika ofisi kuu ya kampuni hiyo, jijini Dar es Salaam .
Posted by MROKI On Wednesday, January 19, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo