Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa Chuo Cha Serikali za Mitaa cha Hombolo wakati alipokitembela Novemba 18, 2010 . Kulia ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Maimuna Tarishi.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipata maelezo kuhusu ujenzi wa Chuo cha Serikali za Mitaa cha Hombolo kutoka Mkurugenzi Mkuu wa LAPF inayogharimia ujenzi huo, Eliud Sanga wakati alipokitembelea Chuo hicho Novemnba 18, 2010.
0 comments:
Post a Comment