Familia ya ACB katika picha ya pamoja na mfanyakazi mwenzao walipohudhuria sherehe ya kumuaga kabla ya kufunga ndoa.
Huyu ndiye Kamanda aliyevunja ngome ya ACB na kupora huyu kimwana. Mungu awabariki.Picha zote na MD Digital Company -075 5373 999/071 7002 303
We Mroki we!
ReplyDeleteHao wageni waalikwa laiti wangejua wanavyoniboaga mimi na hiyo tabia yao na fasheni yao ya kutuonyesha hayo MANYONYO yao sisi yanayokuwa kama MAPUTO! Khaa!