Nafasi Ya Matangazo

May 21, 2010

Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo George Mkuchika akipata maelezo kutoka kwa washiriki mbalimbali kuhusu vifaaa mbalimbali yakiwemo vya jadi na utamaduni wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya Utamaduni Duniani inayoadhimishwa kitaifa katika uwanja wa Mandela mkoani Singida.
Posted by MROKI On Friday, May 21, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo