Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wanamichezo kutoka ikulu ya Zanzibar pamoja na viongozi wao wakati walipotembelea Ikulu ya Dar es Salaam leo. Kesho katika viwanja vya Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu DUCE Chang'ombe Dar es Salaam kuanzia saa mbili asubuhi kutakuwa na Bonanza la micvhezo kati ya Ikulu Dar es Salaam na Ikulu Zanzibar.






0 comments:
Post a Comment