Mimi ni Mwana CCM halali-MENGIMwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Amran Mengi ameuambia uma kuwa yeye ni mwanchama hai na halali wa Chama cha Mapinduzi CCM tangu mwaka 77 mwezi Aprili na kadi yake ni namba B 124595 .
Mengi ameamua kutabanaisha hayo mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Novemba 6 2009 kufuatia shutuma dhidi yake kuwa si mwanachama wa CCM.
0 comments:
Post a Comment