Mwili wa Marehemu Ng'itu ukisubiri kufanyiwa ibada. Paroko akiongoza Misa ya Kumuaga Marehemu Sigfred Ng'intu aliyekuwa Mbunge wa Ruangwa mkoani Lindi na aliyefariki hivi karibuni kwa kuugua ugonjwa wa Kiharusi.
Mmoja wa watoto wa marehemu nawakilisha watoto wote hapa bloguni kutoa heshima kwa kipenzi baba yao...
Mmoja wa watoto wa marehemu nawakilisha watoto wote hapa bloguni kutoa heshima kwa kipenzi baba yao...
Mjane wa Marehemu nae alitoa heshima kwa mwili wa Marehemu Mumewe...
Gloria Tesha wa Habarileo hapa anawakilisha Waandishi wa Habari walitoa heshima za mwisho kwa rafiki yao.
0 comments:
Post a Comment