Nafasi Ya Matangazo

October 25, 2009

Mimi nimeshapiga kura...mkazi wa Temeke akionesha kidole chake baada ya kupiga kura. Waliofanya fujo katika vituo walidhibitiwa na wananchi wenyewe.
FFU akiwatuliza watu Katika kituo cha Malapa Buguruni leo. Wapo waliobeba karatasi za kupigia kura na kwenda kujazia mbali lakini kupigwa picha walikataa.
Baadhi ya Wasimamizi walikuwa hawataki kupigwa picha na walifanya hivi.
Posted by MROKI On Sunday, October 25, 2009 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo