Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikabidhi usafiri aina ya Bajaji kwa mwanamkw mlemavu Sara Mageni Sanga aliyekaa chini katika kijiji cha Lupalilo,Wilayani Makete,mkoa wa Iringa jana jioni.Pembeni ya Rais kulia ni mkuu wa mkoa wa Iringa Bwana Mohamed Abdulaziz.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Mlemavu Sara Mageni Sanga hati na vibali mbalimbali vya usafiri aina ya Bajaji mabyo Rais alimkabidhi mlemavu huyo katika kijiji cha Lupalilo,wilayani Makete,Mkoani Iringa jana jioni.Rais Kikwete alifanya uamuzi huo baada ya kuona adha anayopata mlemavu huyo kupitia kipindi kilichorushwa na Televissheni ya taifa TBC One hivi karibuni.Rais Kikwete yupo mkoani Iringa kwa ziara maalumu ya kukagua mashamba ya mifugo.
Mtaalamu wa usindikaji maziwa katika kiwanda cha Kusikindika maziwa mjini Njombe Bwana Geofrey Nyigu(kushoto) akitoa maelezo kwa Rais Jakaya Mrisho kikwete ya mchakato wa kusindika maziwa unavyofanyika katika kiwanda cha kusindika maziwa mjini Njombe, mkoani Iringa leo mchana.Katikati anayeangalia ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mohamed Abdulaziz.
ivi kwa nini uyo mweupe apo asiwe mweusi..yaani mambo mengine kero tupu..watanzania wafugaji wanafaidika vp na huo mradi,yaani rais apo kafuka
ReplyDelete