-Nyongeza ya Mshahara itolewe bila masharti
-Malipo yaendane na soko la Dola (jamaa wanalipwa dola)
-Miaka ya Kustaafu iwe 60 badala ya 55 ya TAZARA
-Pensheni nayo iwe ya Hiari sio ya TAZARA.
-Mgawanyo sawa wa uongozi, Ofisi ya tanzania imejaa Wazambia wakati zambia hakuna watanzania.
-Mgawanyo wa kazi pia ueleweke.
0 comments:
Post a Comment