Nafasi Ya Matangazo

August 12, 2009

Timu ya Taifa Taifa Stars leo Agosti 12 2009 imeilza timu ya taifa ya Rwanda Amavubi kwa goli 2-1 katika mchezo wa Kimataifa wa Kirafiki uliopigwa huko Rwanda. Magoli ya Stars yalipachikwa na Rashid Gumbo na Jerry Tegete.
Posted by MROKI On Wednesday, August 12, 2009 1 comment

1 comment:

  1. Saaaafi sana,

    Kweli vijana wameipandisha chati Tz na itakwea kwenye lile daraja la FIFA, Safi sana! Hayo ndo mambo..twaja hivyo.!
    Vijana wanaendelea kupanda kiwango.

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo