![](//3.bp.blogspot.com/_mqjENGefutg/SWtM4VRYBTI/AAAAAAAABYs/AA0QPVmEBA0/s400/9.JPG)
Askari wa FFU wakipitisha magari baada ya njhia kufunguliwa
![](//2.bp.blogspot.com/_mqjENGefutg/SWtM4Ksw-vI/AAAAAAAABYc/wvTY5spsIUw/s400/7.JPG)
Wananchi wakiondoa mawe waliyoyaweka barabarani
![](//3.bp.blogspot.com/_mqjENGefutg/SWtM3_PGFLI/AAAAAAAABYU/HdscEJFxEJk/s400/6.JPG)
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mwantumu Mahiza akishangiliwa na wananchi.
![](//4.bp.blogspot.com/_mqjENGefutg/SWtM4MbGl-I/AAAAAAAABYk/xL4cfkHN69U/s400/8.JPG)
Mwantumu Mahiza akizungumza na wananchi ili waruhusu magari kupita
![](//4.bp.blogspot.com/_mqjENGefutg/SWtKz1JXhyI/AAAAAAAABYM/gc0Lpxf7Rc0/s400/5.JPG)
Gari la Naibu Waziri huyo lilipozuiowa hadi ashuke.
![](//4.bp.blogspot.com/_mqjENGefutg/SWtKzUadnnI/AAAAAAAABX8/5Sl1UrILZ6o/s400/3.JPG)
Lori lililogonga watu na kuparanmia nyumba na kusababisha wananchi kutaka kuwepo kwa matuta katika eneo hilo likichomolewa vifaa na wananchi hao.
![](//2.bp.blogspot.com/_mqjENGefutg/SWtKzLtscxI/AAAAAAAABXs/WB2nby7lnjY/s400/1.JPG)
Msururu wa magari kutoka mikoa ya Mashariki Dar es Salaam, Pwani na Morogoro iliyokwama kwa vurugu.
![](//1.bp.blogspot.com/_mqjENGefutg/SWtKzbK-YJI/AAAAAAAABX0/GCofoW2Dd04/s400/2.JPG)
Moto wa matairi na kuni uliowasha kuzua magari kupita.
![](//3.bp.blogspot.com/_mqjENGefutg/SWtKzopzvGI/AAAAAAAABYE/VzmXGEoBuXI/s400/4.JPG)
Mawe na magogo yakiwa katika barabara hiyo.
0 comments:
Post a Comment