
Waombolezaji wakiaga mwili wa Marehemu Cassiana Malima "BOSS" au "Janjawidi"

Wapigapicha wa magazeti na Televisheni wakiwa mbele ya Sanduku lililohifadhi mwilu wa Marehemu Cassian Malima aliyekuwa Mhariri wa Gazeti la HabariLeo. Malima anataraji kuzikwa Januari 14 nyumbani kwao Msoma.
0 comments:
Post a Comment