Ajali hii ilitokea jana baada ya basi la Zuberi T 677AGJ lililokuwa likitokea Dar es Salaam kupindika katika mlima Senkenke mkoani Singida kufuatia kukosa breki katika mteremko mkali. Basi hilo liliparamia mlima na kisha kuanguka mtoni umbali wa mita 50 kutoka mlimani.
November 25, 2008
Ajali hii ilitokea jana baada ya basi la Zuberi T 677AGJ lililokuwa likitokea Dar es Salaam kupindika katika mlima Senkenke mkoani Singida kufuatia kukosa breki katika mteremko mkali. Basi hilo liliparamia mlima na kisha kuanguka mtoni umbali wa mita 50 kutoka mlimani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment