Nafasi Ya Matangazo

September 15, 2015

Mgombea Ubunge katika jimbo la Vunjo na Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA,James Mbatia akizungumza katika mkutano huo.
Mbatia akimtamburisha mgombea udiwani katika kata ya Arusha Chini,Rojas Mmary mbele ya wapiga kura.
Mbatia akimtamburisha mgombea Ubunge katika jimbo la Moshi vijijini,Anthony Komu katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni uliofanyika katika kata ya Arusha chini TPC.
Posted by MROKI On Tuesday, September 15, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo