Nafasi Ya Matangazo

September 27, 2015

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Vunjo na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Mh. James Mbatia, akiwahutubia wananchi wa Mji wa Himo, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye uwanja wa Polisi Himo, Jimbo la Vunjo, Mkoani Kilimanjaro leo Septemba 27, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwahutubia wananchi wa Mji wa Himo, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye uwanja wa Polisi Himo, Jimbo la Vunjo, Mkoani Kilimanjaro leo Septemba 27, 2015
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Freeman Mbowe, akiwahutubia wananchi wa Mji wa Himo, katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye uwanja wa Polisi Himo, Jimbo la Vunjo, Mkoani Kilimanjaro leo Septemba 27, 2015.
Wananchi wa Jimbo la Vunjo, wakishangilia wakati Mgombea Ubunge wao, Mh. James Mbatia, akiwahutubia, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye uwanja wa Polisi Himo, Jimbo la Vunjo, Mkoani Kilimanjaro leo Septemba 27, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwa ameambatana na baadhi ya viongozi wakuu wa UKAWA, wakati wakiondoka eneo la Uwanja wa Polisi Himo, kulimofanyika  Mkutano wa Kampeni, leo Septemba 27, 2015.
Posted by MROKI On Sunday, September 27, 2015 1 comment

1 comment:

  1. Mhe. Lowassa na Mbatia mbona hamsemi lolote kuhusu shule za private? hali mkijua zinatoa mchango mkubwa wa elimu nchini, lakini zinaachwa hewani tu!

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo