Nafasi Ya Matangazo

April 16, 2014

Baada ya safari ya miaka 34 ya kutembea duniani na mafanikio ambayo mungu amenipa , naomba kutumia kurasa huu kuwashukuru tena ninyi wazazi wangu,marafiki zangu, wananchi wenzangu wa Chalinze kwa heshima kubwa mliyonipa.

Ninapoingia mwaka wa 35 wa maisha yangu hakika ni kumshukuru mungu kwa yote aliyonitendea na familia yangu kwa kuwa pamoja nami.Lililo mbele yangu ni utumishi uliotukuka na kuendeleza urafiki na kujenga mahusiano mema.

THANK U ALL.
Ridhiwani Kikwete
Posted by MROKI On Wednesday, April 16, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo