Nafasi Ya Matangazo

January 30, 2013

 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye leo ameshiriki katika shughuli za ujenzi wa madarsa katika Shule ya Sekondari Nyasha Wilayani Kasulu.

Miongoni mwa Shughuli hizo alizoshiriki ni pamoja na kuunganisha kenchi, kubeba mawe na kupiga ripu chumba kimoja wapo cha madarasa na kumalizia na kupanda mti katika uwanja wa shule hiyo. 




 






Posted by MROKI On Wednesday, January 30, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo