Nafasi Ya Matangazo

June 08, 2012

 Meneja Utafutaji Mafuta na Gesi kutoka kampuni ya Shell International Exploration and Production Dkt. Menno de Ruig akibadilishana mawazo  na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Bw. Eliakim C. Maswi kabla ya kuanza kwa kikao hicho.
Meneja Utafutaji wa Mafuta na Gesi kutoka kampuni ya Shell International Exploration and Production Dkt. Menno de Ruig akielezea  shughuli  ikiwa ni pamoja na hatua iliyofikiwa ya utafutaji wa mafuta na gesi  wa kampuni hiyo. Kikao hicho kilishirikisha pia Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya nishati Mhe. George Simbachawene, Katibu Mkuu wa Wizara Bw. Eliakim C. Maswi ikiwa ni pamoja na wataalamu wa Wizara.
Posted by MROKI On Friday, June 08, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo