Nafasi Ya Matangazo

September 25, 2025










Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtumba kwa tiketi ya CCM Ndg. Anthony Mavunde ameendelea na awamu ya kwanza ya kampeni yake ya mtaa kwa mtaa kwa kila kata kuzungumza na makundi mbali katika maeneo husika.

Ndugu Mavunde ameendelea na ziara yake kata ya IHUMWA na kutembelea na kuzungumza na wananchi wa Mitaa ya π˜Ύπ™π™–π™£π™œ’π™€π™’π™—π™š, π˜Ύπ™π™žπ™‘𝙬𝙖𝙣𝙖, π™„𝙑𝙀𝙑𝙀 na π™„𝙝π™ͺ𝙒𝙬𝙖.

Ndg. Mavunde pia alitumia fursa hiyo kuwaombea kura Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dkt. Samia S. Hassan na Mgombea Udiwani wa kata ya Ihumwa Ndg. Edward Magawa
Posted by MROKI On Thursday, September 25, 2025 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo