Nafasi Ya Matangazo

May 13, 2024

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waumini wa Kanisa la Anglikana Mkunazini Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 12-5-2024,baada ya kumalizika kwa Missa Kuu ya Upatanisho iliyoongozwa na Askofu Mkuu wa Canterbury Justini Welby, iliyofanyika katika Kanisa hilo.
WAUMINI wa Dini Kanisa la Anglikana Mkunazini Jijini Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la  Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na  wakati wa Missa Kuu ya Upatanisho iliyofanyika leo 12-5-2024  katika Kanisa la Mkunazini Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar , iliyoongozwa na Askofu Mkuu wa Canterbury Justin Welby.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimpongeza Askofu Mkuu wa Canterbury Justin Welby, baada ya kumalizika kwa Missa Kuu ya Upatanisho iliyofanyika leo 12-5-2024 katika Kanisa la Anglikana Mkunazini Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwapungia mkono Waumini wa Kanisa la Anglikana Mkunazini Jijini Zanzibar, wakati akiondoka baada ya kumalizika kwa hafla ya Missa Kuu ya Upatanisho na kuzindua Jiwe la Kumbukumbu ya Maridhiano Waliyofanyiwa Waafrika Wakati wa Biashara ya Utumwa.
 

Posted by MROKI On Monday, May 13, 2024 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo