Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia Viongozi mbalimbali,
wadau wa Nishati pamoja na Washiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwa Afrika uliofanyika katika Makao Makuu ya
UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa tarehe 14 Mei, 2024. Rais Samia pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Mkutano huo wa
Kimataifa ambao umewakutanisha viongozi kutoka sehemu mbalimbali Duniani.Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha
ya pamoja na Wenyeviti Wenza, Waziri Mkuu wa Norway Mhe. Jonas Gahr Støre wa pili kutoka kulia, Rais wa Benki ya Maendeleo ya
Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina wa kwanza kulia pamoja na Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi ya Kimataifa ya Nishati (IEA) Mhe. Dkt. Fatih Birol wakati
wa Mkutano wa Kimataifa wa
Nishati Safi ya Kupikia kwa Afrika uliofanyika katika Makao Makuu ya UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa tarehe 14
Mei, 2024.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Wenyeviti
Wenza, Waziri Mkuu wa Norway Mhe. Jonas Gahr Støre wa pili kutoka
kulia, Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina wa
kwanza kulia wakati wa Mkutano wa
Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwa Afrika uliofanyika katika Makao Makuu ya UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa tarehe 14
Mei, 2024.
Viongozi, Wadau wa Nishati pamoja na Washiriki
mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano wa
Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwa Afrika uliofanyika katika Makao Makuu ya UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa tarehe 14
Mei, 2024
Viongozi, Wadau wa Nishati pamoja na Washiriki
mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano wa
Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwa Afrika uliofanyika katika Makao Makuu ya UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa tarehe 14
Mei, 2024
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na
Waziri Mkuu wa Norway Mhe. Jonas Gahr Støre kabla ya
kuanza kwa Mkutano wa Kimataifa
wa Nishati Safi ya Kupikia kwa Afrika uliofanyika katika Makao Makuu ya UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa tarehe 14
Mei, 2024.
****************
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema licha ya Afrika
kuwa na idadi kubwa ya watu na raslimali zote muhimu, ni bara la chini kuwa na
upatikanaji wa nishati safi ya kupikia.









0 comments:
Post a Comment